Wakati akiingia madarakani, Rais wa awamu ya 6 alitambulisha kauli mbiu yake kuwa kazi iendelee bila kusema ni kazi ipi hiyo, je ni ile iliyofanywa na awamu ya 4 na kuja kusitishwa na awamu ya 5 au ni ile iliyofanywa na awamu ya 5 iendelezwe.
Kadiri muda unavyo kwenda nimeanza kuelewa ni kazi...
Naamini mabadiliko ya tabia nchi hayajaanza leo wala jana, ila propaganda huko nje ni kana kwamba miezi 8 baada ya kifo cha mtumishi wa Mungu JPM hali ya hewa si rafiki tena, mabwawa hayana maji ya kutosha kuzalisha umeme, mito imekauka, visima havitoi maji tena. Nk
Tukiiamini hii kauli ya JPM...
Mkuu nimetoa ufafanuzi kuwa sitajibu sms inbox wala sifanyi hii huduma kwa watu, ila wanaohitaji watafute taarifa Google na wataalamu wa mambo ya sattelite wanaweza kuwa na nafasi kubwa zaidi ya kufanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.