Mkopo kwa wanachuo wa chaguo la pili na mengineyo kwa mwaka wa masomo na bajeti 2011/12
''MKOPO HAKUNA''
KWA MAELEZO ZAIDI TEMBELEA WEBSITE YA BODI''HESLB''12/10/2011
Kweli Taifa laangamia yani hesabu ya kitoto tena isiyowezekana 2X=4X NA X=UNDEFINED na si 4 wengine mnaji2ngia maswali yenu.nadhani sasa mmejionea kwamba kufaulu mitihani ni umakini na si kukurupuka kama baadhi ya wa2 humu ALWAYS THINK TWICE BEFORE ZA ACTION
Muda wa kuwapongeza bado ndo kwanzaa siku moja imepita na madogo wako cool hawaongelei kabisa paper.siajabu wamebana mwanzo na mwisho au kati wataachia.
Umekwisha ambiwa inorder 2discover something there must be an invisible force play part in ur mind sasa wewe ukishindwa kupata gpa kubwa kwa kufikiri kwa kina na kuelewa ulichofundishwa ndani ya semister utaweza kugundua hiyo software..maplan ni kupiga gpa ili kile nilichogundua kiweze...
Ukistaajabu ya musa utayaona ya filaun na mkumbuke ya kwamba a toad cannot run on a day time for nothing na kila problem come with gift so acheni malumbano kila m2 amaind his/her own bussness.wa2 2napanga mikakati ya kupata GPA kubwa nyie mnarushiana madongo kavipi fungeni hizo akaunt zenu.lets...
<br />
<br />
tatizo unaangalia upande mmoja wa shilingi,hivi kwanza unajua ya kwamba waliopata dvs 3 ni wengi kuliko 1n2,na watoto wengi wa masikini ni 3 hasa wale wa science ktokana na ugumu wa masomo pamoja na ukosefu wa pesa za kuendeshea masomo yao na shule zenyewd ndo hivyo tena.think...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.