Hizi ratio za pesa huwa zinatolewaje ?
Wanatumia vigezo gani?
Mfano unaambiwa elfu kumi ya Kenya ni laki kwa tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
TANZANIA
Na Xavi Hernandez Alcantara
Tungeweza kuwafunga mapema tu Burundi hata kule kwenye penati tusingefika bila shaka lakini tushukuru kwa ushindi Ambao tumeupata kupitia mikwaju ya penalti. Wachezaji wa Burundi wakiondoka basi bila shaka watakuwa wakiulizana. Juma Kaseja anacheza Raja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.