kaka kama umecheza draft no dought kukariri ni muhimu mnoo na uwezo ni muhimu
kwa ulowaona ivi kuna mtu anapiga draft la akili kama mzee noel? ila anapoteana coz hali copy mpya mara nying
sisco anacheza draft kabisa unaona ili amelikariri na ndo kinamsave mnoo anacheza anacheka cheka njonjo kibao
kaka mm nlipitia game za mkulima karibhni zote asee kibinaadam kwel mtu huwezi kosea hata kidogo? game alizofungwa mkulima ni either muda au ameamua kuswitch side kwaiyo atajiloozisha.
amefungwa game moja tu kihalali katika loose zote zile unazoziona apart from akichezaga chineese,,tena iyo game...
Hakuna kitu kigumu kama kumuona mtu anateka ufalme wako na ww ukiwepo bro…goli alilofungwa cr7 ile ya tege kaanzisha mwenyewe..kaitembeza kidroo kumbe sisco ana goli lake kwenye huo mguu alibaki ameshangaa tuu
later on akarudisha ule mguu tena ili amuone kama dogo atachomoka,,dogo akatoa droo...
JAVA LOUNGE STADIUM [emoji2522]
BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH BIG MATCH
NOEL NAMALOE vs CR 7 THE SCIENTIST
Mdhamini; DANY DENYO(MDHAMINI NUMBER 1 TANZANIA)
CAMERA MAN: MKOREA
KAMISAA : CHANDE
MICHEZO : OJ + TEGE 10
KOMBE [emoji471]: 1,000,000(Winner 800,000 loser 200,000)
MATCH UPDATE...
Anaitwa MONDO.. famous Kwa jina la "wild cat"
Anakula panya kama kawaida, sema anakula adi kuku,kanga Kwa kuwinda..
Apo ni mkubwa...sio kama giant cat wengine yani chui,tiger
Ya package ilikua kawaida sprayer ilikua inamwaga kama Bomba la mvua ila ilikua inakaa adi unajiuliza kwani Kuna difference na O.G? Nakumbuka 2020 ivi nlichukua creed lastly ilikua moto mnooo nkanunua chupa 2 daily Wana lazima wakuulize..Ile ya kishkaji "we fala ivi unatumia unyunyu gani" wengi...
Ni kweli usemacho ila mfano izi sauvage, saviour(by Paris corner),sauve(by global world) nyingi apa ni fake mzee,na za kupima oil zao nyingi ni low quality kaka..
Ukikuta mtu ananukia sauvage O.G no doubt ipo tofauti au ukute ya kupima mtu oil ni high quality yenyewe ndo inakaribiana na sauvage...
Mm ni fan mkubwa wa Ronaldo..draft siku zote lipo hivyo la mabingwa discussion muhimu..na Ronaldo ana watu pia kina issa mamba..
Unakumbuka game ya issa na noel..noel akafa?? Ilikua mda kidgo issa alikua anatembea miguu ya cr7..
Ikajirudia fainali ya issa mamba na nduli je? Cr7 kashinda na...
Mzee noel ni bingwa mda mrefu sana.. Sisco ni mkubwa Kwa madanali ila ubingwa wa kitaifa ni kuanzia apo 21 ndo jina limekua kubwa ila mzee noel ni wa mda mrefu mno
Nazani hukunielewa..wakati sisqo anajoin na kina nduli na noel,,bingwa alikua ni mzee noel nazani apo utakubali kwanza..
Pili kusema kutumia akili nyingi hii haipingiki man,, nenda manyanya buni mchezo wako wa style yoyote lazima atafutwe noel au mangwez(sema Sasa hachez mno),, mfano bingwa...
Hakuna aliemfunga mkulima kihalali ndugu yangu kweny game la Tanzania.. either muda uliisha Kuna mtindo anasukuma kete Moja alafu hachezi tena.. kama uyo dogo mapenz hua anacheza na mkulima Chinese lile la kumalizana ndo anafungwa..playok hakuna aliemfunga mkulima kihalali zaidi ya David mbeya...
Kwangu mm ni tofauti kabisa Sisco wakati anaingia Kwa watu huru bingwa ni noel..
Ila kma unavyomjua nduli Kuna kipindi hataki mechi kabisa analitema draft, noel nae akienda njombe anakua mnyonge akirud dar..
Sisco ni mchezaji anaepoteza mda kweny madanali yani asubui adi usiku akibadilisha pool...
Ronaldo aliingia kweny game kibabe sana kwasababu kijiti Cha ubingwa kilitoka Kwa mangwelele kikaingia Kwa Shaban katoto..wakiamini Shaban katoto hafungiki..siku akapata chance nae ndo apo jina la Ronaldo likajulikana.. alishinda 3-0..Kila game baada ya apo katoto anatafuta sare..
Ndo maana adi...
Nazani nilijitaidi kuelezea kwamba mkataba huu Kwa Ronaldo utakua mgumu Kwa mkulima..kama upo playok utakua umeona sana game mkulima vs ashkelon zinavyokua..baada ya Ronaldo kumshtukia mkulima anasema live mkikutana kwamba ukicheza nae ckuzote usiishambulie kwakua iyo ni program..
Kma unamjua...
Bahati mbaya juma amefariki..
Juma alilifanya kweli draft kua biashara yake..kino alikua haweki izo mkataba kwakua pale Kuna wakubwa sana..yy anatembelea vijiweni mitaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.