Umefahamika vyema ila andika kwa kituo usichanganye maneno.Kwa ufupi umekusudia kufanya mambo mengi kwa wakati mmoja yaani kufikiri na kutenda hapo hapo ni kulazimisha maisha.
Katika nyanja za kiimani kufanya jambo kisha ulikaliwacha na kukamata jengine kunaufanya moyo ufubae
kikwazo kipo katika maadili labda;umaadili ni nini nalo ni neno kwa wengine.
magruop ni kuunganisha tu,ni jambo zuri lakini linakuunganisha kuhusu nini,
jee kazi na taaluma zipo kimaadili yatakiwayo.
Anachoongalia mtoa mada ni kwa ujumla wake kuwa magroup hayapo kimaadili bali ni uharibifu wa kimaadili.
ubaya au uzuri ni mambo ya kimaumbile;kwa mfano kuuwa au kuiba au kufanya uzinzi hili kila binadamu anajua
kuwa jambo hilo si zuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.