Leo nilikuwa live na tukio la mlimani city Makonda kamwingiza katibu mkuu alafu yeye kapotea ghafla hata kwenye utambulisho MC kasema anaemuakilisha mkuu wa mkoa sasa hapo alienda wapi!!!!!!!!
Habari za usiku huu, naomba kujuwa utaratibu huu ukoje kwa bank ya NMB nilifungua account Tangu week iliopita na jana nikajaza form maalum ili kuiboresha kadi yangu na kufanya miamala mtandaoni kwa kununua bidhaa, jana hiyo nimekumbana na vikwazo vingi sana ikiwemo ukoseaji kwenye zoezi la...
Kiukweli wanawake wa siku hizi dada zetu hasa wenye tu degree twao huwa wanajifanya matawi ya juu sana mpaka anafika mahali anakongoroka ndio anakumbuka kutafuta mme mwenye akili ya maisha, utii hawana wapo zaidi kimapenzi ila sio kindoa.
Ukweli dada zetu hasa walee kuweni makini mtakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.