Hapo Mungu baba alikuwa na mwanawe Yesu Kristo
Yohana 17
5 Na sasa, Baba, unitukuze mimi pamoja nawe, kwa utukufu ule niliokuwa nao pamoja nawe kabla ya ulimwengu kuwako.
Yesu kristo alikuwa na Mungu baba kabla ya ulimwengu kuwako
1 Yohana : 5 : 4 - Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.
1 Yohana : 5 : 5 - Mwenye kuushinda ulimwengu ni nani, isipokuwa ni yeye aaminiye ya kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu?
Hayo maandiko yana uhusiano na...
Jamii zimekuwa zikiamini miungu tofauti tofauti
Wafilisti- Dagoni
Wacanaani- Baali
Wagiriki- athene, zeus, poseidon
Warumi- athene
Wachina- budha
Wahindi- shiva, krishna
Waarabu- allah
Waisrael - yehova
Vipi jamii hizo zote utasema zinaabudu mungu mmoja
Mkuu ROBERT HERIEL nakubali sana hoja zako unazojenga. Naomba unisaidie kuelewa kwa nini Mungu wa waislamu Allah anajitambulisha kwa uwingi kwenye koran?
Mkuu hivi anachojaribu kusema huyo mchangiaji kinaweza kuwa na uhisiano na
Warumi : 14 : 5 - Mtu mmoja afanya tofauti kati ya siku na siku, mwingine aona siku zote kuwa sawasawa. Kila mtu na athibitike katika akili zake mwenyewe.
Naomba pia ufafanuzi wa
Wakolosai : 2 : 16 - Basi, mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.