Endeleeni kujifariji, hii nchi siyo familia, huwezi kuogoza nchi hii kwa kufuata matakwa ya mtu binafsi, tuna Katiba na sheria, hatutaki matamko. Nawapongeza sana umoja wa ulaya na USA
Mjinga, barua yenyewe kaandikiwa, halafu eti hapati ushirikiano toka viongozi wa kitaifa, jamani hata aliyemuandikia barua ni mbumbumbu, muandishi wa barua lengo lake ni viongozi wa kitaifa, diwani ana viongozi wa ngazi yake kiuongozi ni kata, wilaya, mkoa, kanda. Kushikiwa akili ni kubaya sana...
Ktk historia yangu Ya maisha sijawahi kukutana na mtu mpumbavu kama huyu, Chadema wamempuuza, roho inamuuma, anaropoka vitu vya hovyo ambavyo havina mashiko, mjinga huyu, anatapatapa
Kwanza inaonyesha namna ccm kuwa haijali gharama zinazobebwa na walipa kodi, kwanza kuwanunua wabunge na madiwani, pili kirudia uchaguzi. Lkn pia inaonyesha jinsi ccm ilivyo na nia ovu ya kivihujumu vyama vya upinzani na kuhujumu Demokrasia, kwa kufanya hivi ccm ina mpango wa kuharibu mfumo wa...
Haiwezekani hata kidogo, chama sasa wanapewa watu ambao hawakuvuja jasho, hivi ni lini Bashiru alivuja jasho ndani ya ccm, ni lini Humphrey Polepole alivuja jasho ndani ya chama, wamekuja tu juzi wanapewa nafasi nyeti, hawaijui ccm, wala historia yake, mtu anakuwa eti mchambuzi tu anapewa ulaji...
Nimemuona mkuu wa mkoa wa iringa ktk kile alichokiita iringa mpya, jana akizungumza na watu usiku na kumuweka diwani wa chadema ndani kwa masuala yanayohitaji uchunguzi kwanza ni udhalilishaji lkn pia ni siasa dhidi wanaoliongoza jimbo la iringa mjini. Ukiangalia kwa mapana ile ishu ni kama...
Sikubaliani na majibu ya kutaka kurekebisha kauli ya rais, alichokisema sote tulisikia, sasa hawa wengine wanaokuja kujaribu kupose alichokimainisha wanajaribu tu kutaka kuokoa jahazi, kama aliteleza ni yeye mwenyewe wa kuja na kutuambia aidha jamani nilikosea au nilimaanisha hivi
Kwa hakika ni aibu, haijapata kutokea, huu si uchaguzi bali ni uchafuzi,ktk isiyo tarajiwa m/kiti wa tume anasema hamna shida. Tangu sasa juhudi za makusudi kudai tume huru ya uchaguzi zinatakiwa kuanza.
Yaani hapo ccm wameishiwa nguvu, wameingia mkenge, nilisema "when God says yes nobody can say no" wameshupaza shingo wakijua wamempata Mbowe, kumbe Mungu aliye zaidi ya vyote anajua yote. Michuki yenu, miroho mbaya yenu, sasa mmeumbuka!
Kuna tatizo hivi sasa la umeme wilaya ya mufindi hususani mji wa Mafinga mjini,umeme hauna nguvu, toka jana usiku umeme unakuja halafu unakata, ni bora ungezimwa Kwanza kuliko hivi, vitu vinaungua jamani.
Toka jana usiku baadhi ya maeneo ya wilaya mufindi Umeme umekuwa wa matatizo, unawaka na kuzima. Kama kuna shida ni bora wangezima kabisa kuliko mtindo huu wa kuuacha umeme usio na nguvu, watu wengi wamelalamika kuunguliwa vitu vyao.
Kama ulitumwa rudi kawaambie mbona hawa jamaa hawaelewi kuhusu Mbowe, wanampenda kupitiliza. Kama umetumwa na polepole mwambie kisiasa bado yupo kindergarten anahitaji kujifunza kwanza aingiee la kwanza, std 7,form 4, six, chuo ndipo aje kupambana na Mbowe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.