Mmmmh ww nae kiboko sasa unatafuta nn saiv na ww kubingirika na watoto jamani duh naona kama mama angi vile eee mungu muepushe mama angu na tabia za namna hii
Haaaaaaaa!!!!!! Hii sio ndoa n gereza halafu utakuwa mnyanyasaji ww na sio mtu wa kawaida duh mm hata bila kutoa mahali sikutak mtu unajiinua kuliko hata mungu au ulijiumba mwenywe nn yani hakuna nmna yotote unaweza kuendesha maisha bila kushauriwa hasahasa na watu wa karibu sasa cjuw ww n mdogo...
Ww ndio umekosea make from 2009 to 2017 miaka 8 umemuacha mwenzio kijijini na mbaya zaidi umemzalisha lkn kuoa hutaki sasa umemfanya mwenzio mlezi wa mtoto make ameshindwa kukuelewa kaamua ajiongeze make kaona hapa hamna ndoa n uchumba sugu tu so hapo ww hizo stress umezisababisha mwenywe bro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.