jaman haya mambo yapo na ndo kwanza mikataba kama hiyo inaendelea..mwekezaj anapewa miaka 10free..halip kod ukiuliza kwa nn kenya wanafanya hivyo tusipofanya cc wawekezaj watakwenda kenya duh!ndugu zangu wahenga walisema ukimuona mwenzako ananyolewa wewe tia maji..tumeona zimbabwe.
duh!kweli humu kuna fikra pevu.,nashauri vijana waachane na facebook maana haina msaada kwa maendeleo ya taifa letu..jf ni cha ukweli mbaya..big up guyz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.