Wana Jfm naomba kuelekezwa kwa upande wa EFD machine,Nafanya mauzo kwa wateja ambao hawana TIN namba na VRN.Naomba kuelekezwa jinsi ya kuweka jina la mteja ili nikimkatia mteja risti jina lionekane kwenye risti niliyomkatia na kiasi chake.Nitashukuru
Wakuu ndugu yangu anatafta kazi za madini(migodini).Ni geologist mwenye degree ana uzoefu wa mwaka mmoja.Ufaulu wake GPA 4.1 ni kijana anaependa kujituma ktk kufanya kazi .Naomba wakuu msaada wenu au kama kuna yeyote anaweza muunganisha yuko tiari kufanya kazi ndani na nje ya nchi endapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.