Hayo ndio matokeo ya kuji "isolate" na jamiii ukumbuke kuwa sio kila siku utakuwa ni yuleyule kuna siku utakuwa unashida utahitaji msaada wa watu unaojitenga nao!
KATIKA kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, Rais Jakaya Kikwete alitoa ahadi ya kuufanya mkoa wa Kigoma kuwa kitovu cha biashara. Aliahidi kununua meli tatu zitakazotoa huduma katika maeneo ya maziwa makuu Ziwa Viktoria, Tanganyika na Nyasa.
Aliahidi pia ununuzi wa meli mpya yenye...
LAMECK Nchemba Mwigulu (33), ni mmoja wa vijana wanaotarajiwa kuwa hazina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika miaka ijayo. Ni mbunge wa CCM katika jimbo la Iramba Magharibi.
Jina la Mwigilu liliibuliwa na mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, Aprili mwaka huu alipomteua kuwa...
NIMEKUWA nikimsifu Samwel Sitta anaposimama kueleza, kujadili na kutetea anachokiamini. Huwa namsifu mwanasiasa huyu mwerevu kwa sababu huwa anaeleza kwa msisitizo, nguvu na mvuto mkubwa hicho anachokiamini.
Lakini nilivyopima mwenendo wake wakati akiwa spika wa Bunge tangu Desemba 2005 hadi...
Huu ni ushamba kumtafsiri mtu tofauti na vile alivyo, kukata viuno ni kazi ya sanaa kwani wacheza show za muziki huwa wanafanya nini? Hata hivyo wasanii wangapi duniani wanakata viuno? Mbona hata Mr Nice enzi hizo alikuwa viuno kwa kwenda mbele, je ni shoga?
H Baba nae hivyo hivyo, je ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.