Hajajielekeza vizuri katika tafsiri/maana ya bima, kuwa unachotoa siyo unachokipata, mtu anaweza asiumwe hata zaidi ya miaka mitano, lakini bado akaendelea kuchangia, je hizo fedha anazochangia zinakwenda wapi?.
Kwa mantiki hiyo, Kichere alitakiwa aseme pia faida wanayoipata NHIF kwa kukusanya...
Hakuna mahali nimeandika kuwa tupewe nchi, unless umechanganya madesa, so ww ndiye usome vizuri, reply yangu kwako ni juu ya wewe kusema "unaweza kuta wachaga ndio wanaorudisha maendeleo ya nchi nyuma" na blah blah nyingi, honestly huwezi kuwa sahihi that's unbeatable fact,
Kusema kuwa na...
Hoja nzuri,
Mi pia nilitaka ku address issue hii, mi binafsi sihitaji hata hiyo posho, nikiangalia vile familia zinavyo farakana kisa wenza kutenganishwa inanisikitisha sana,
Serikali imeweka muda wa miaka 3 bila kuhama ktk kituo kimoja, hii ni mbaya sana kwa wenza, na familia kwa ujumla...
Kabila ni asili/trait lipo associated 100% na biological traits, kuna mtu ukimuangalia tu unajua huyu ni kabila fulani, kuna makabila watu wengi ni wafupi, lingine ni warefu, lingine ni weupe, lingine ni weusi tii, utamaduni ni namna ya kuishi, suala la kununua ukoo au kabila halibadilishi asili...
Na hata ukirudi nyumbani na chuma yako, unaalika majirani, na jamaa mnakaa pamoja kuria kitochi, sehemu nyingine ukishika pesa huwezi thubutu kurudi hata nyumbani, hayo maendeleo yatakujaje kijijini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.