Natamani mtu aliyefika ulaya anifafanulie kinachoshindikana Coffee shop kwa Dar.
Ni kwasababu hakuna aliyejitokeza kuifanya? Natamani niifanye hii biashara hata kama sio kwa ukisasa zaidi ila iwavutie kila karba ya watu.
Nitafute coffee maker/grinder kubwa nitafute site mjini nifanye.
Cc RRONDO
mwanzo nili plan kufanya ulivyosema nikawa na wazo la kutengeneza hiki kitu
Ila nikipiga hesabu ya return naona nitasubiri zaidi ya miaka kuweza kurudisha angalau investing cost kwa ile price ya 100 per cup or 200.
Unaonaje hili?
Ndiyo nikaja kwenye wazo la pili.
Wakuu habarini za wakati huu. Mapenzi mubashara ndugu zangu watafutaji/wajasiriamali/wafanyabiashara yasiwe tu kwa wapenzi wetu bali hata sisi watafutaji tupendane sisi kwa sisi hasa kwa kipindi hiki.
Leo nimekuja kwenu naomba ushauri utakaonisaidia niendelee hapa nilipokwama. Naomba ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.