SEHEMU YA ISHIRINI NA MBILI
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Tukarudi kwenye magari tukaanza kupiga stori, kumbe wale jamaa wameenda kujikusanya limekuwa kundi kubwa wamekuja pale yard wanataka wafunguliwe waingie lasivyo wanavunja geti, wapo na mawe, mapanga, mafimbo, basi ikawa fujo pale, kesi ikawa...
SEHEMU YA ISHIRINI NA MOJA
Ilipo ishia,,,,,,,,,,,,
Basi nikamaliza pale, nikatafuta sehemu nikaenda kupiga maji maana nna siku kadhaa sijaoga, Tukarudi kwenye gari abduli akanipa kadeti yake nyeusi na t-sheti nikavaa kidogo na mimi nikaonekana mtu, akaniambia wanasubiri mida ya saa kumi hivi...
SEHEMU YA ISHIRINI
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,,,
Daah! sasa ntatokaje tena humu ndani, hili mbona balaa jingine tena, nikichungulia naona ma mbwa yanazunguka zunguka humo ndani, aisee hiki kimbembe tena, nikasema hapa polisi pananihusu tena, nikiulizwa nimeingiaje humu ndani nitasemaje, na...
SEHEMU YA KUMI NA TISA
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Nikakaa pembeni ya mto pale nikamalizia vitunda vyangu, nikanywa maji tena nikajiskia fresh sasa, nikavuka ule mto nikaendelea na safari yangu, nikatembea mpaka msitu ukaisha nikatokea kijijini,
Endelea,,,,,,,,,,,,,,,,
Nikatembea mpaka nikafika...
Mkuu hii stori nimeandika mwenyewe kwa mkono wangu, haipo popote unaweza kuipata,
Kama vipi natulia kidogo nisubiri, atakae weza kuniletea sehemu inayofata nampa hela,
Pia mi staki hela ya mtu, kama we unataka chukua wewe ukapige hela huko unakotaka
SEHEMU YA KUMI NA NANE
Ilipoishia,,,,,,,,,,
Kumbe bana mule ndani si wote wanafurahia wakiona mambo yako yakiwa yanaenda fresh, kumbe si huku mtaani tu hadi jela watu wenye roho za husda wapo,
Endelea,,,,,,,,,,,,,
Siku moja ndo tumerudi kutoka kiwandani, tumeingia ili tupige msosi, Mara...
SEHEMU YA KUMI NA SABA
Ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Mzee kwa mara ya kwanza natimba gerezani, wacha kabisa!! Siku hiyo sikulala kabisa, niliwaza mambo mengi sana, Nikakumbuka maneno ya Sity " Ebu jichunguze ni wapi ulipo mkosea Mungu", Nikakumbuka sana kijijini kwetu, Nikasema bora na mimi...
SEHEMU YA KUMI NA SITA
Ilipoishia,,,,,,,,,,
Mara nikapigwa na kitu sjui ni nini, kuanzia hapo ndo sikujua nini kiliendea tena, nikawa nimefloot,
Endelea,,,,,,,,,,,,,,,
Nilikuja kupata fahamu nikajikuta nipo wodini, Nimelala kitandani nimetundikiwa drip, nimepigwa bandeji karibu kila mahali...
SEHEMU YA KUMI NA TANO
ilipoishia,,,,,,,,,,,,,
Kweli kesho ikafika, Daah ni siku ambayo sitakaa niisahau maishani mwangu, yani yaliyonipata siku ile ni Mungu tu aliingilia kati, daah!! We acha tu, Basi bana siku ilianza fresh tu yaani,kulipambazuka vizuri nikajiandaa pale niende zangu moshi...
Ni kweli, nilwaza pia hicho kitu, ila shida ilikuwa muda umeenda sana, kipindi kile nilifanikiwa sababu madogo walikuwa wananijua, pia walimu walikuwa wananijua ndo maana haikuwa shida,
Lakini kwa muda ule nisingeweza maana pale hayo mambo hayaruhusiwi na ukikamatwa ni kesi kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.