Sio sahihi kwani daktari pia ni binadamu hivyo anashikwa na hisia km mtu wa kawaida.hivyo kumzua asimpende mtu kwa sababu ni mgonjwa wake ni kuingilia uhuru wa mapenzi.
Pole bro ila wakati mengine badili lugha ili kuwafanya wadau wengi kukufahamu na kupata michango mingi zaidi.
Mi nahisi piga moyo konde ukaze ktk masomo kwani ndio kitu muhimu zaidi kwa sasa ili kutengeneza maisha ya badaye.
Pili tambua kuwa wazuri hawajaisha wala hawatoisha ila huyo dada...
Hi babu nenda pumzika salalma kumbuka tafakuri ni mshindo wa mawazo.na chenye njema fikira ni umadhubuti wa ubongo.
Mwenye kubisha ukweli kuongopewa amezoea ila usimlaumu yapaswa kuoneshwa njia.ukweli umeuongea japo wapo wanaochukia yafaa kuwapotezea ila yafaa kuwaasa jua wamepotea njia.hongera...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.