2019 bomoabomoa imekuwa ghafla bin fuuuuu hakuna tena bomoabomoa.
Watanzania wenzangu hapo vipi? KUMBUKA TUNAKWENDA KATIKA UCHAGUZI MKUU
NINI MAONI YAKO
Tanzania/Tanganyika imepitia wakati mgumu sana huko nyuma wakati wa Hayati Mwalimu Nyerere,kweli tulikuwa na amani ya kutosha muda wake wote,ukiondoa wakati ule alipotutia vitani na Uganda,lakini kiuchumi na kisiasa tulikuwa na tumebaki nyuma sana, kiasi kwamba mpaka sasa matatizo tuliyonayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.