Lakini hivi watu waozungumzia suala kuacha kubeti wanakuwa na akili gani jamani?hivi unawezaje kukaa huko na mawazo yako unakuja kumwambia mtu aache kazi yake kirahisi tuu alafu aende wapi kufanya nini wakati ajira hakuna na mkisema tujiari kwa namna wavyotaka huo mtaji tunautoa wapi?
Hebu...
Hoja ina mashiko kabisa hii,wasiwasi wangu ni hivi viongozi wanapitaga huku kwa uaminifu kweli ili wayaone haya?
Asante mkuu kwa kuturahisishia kufikiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.