Habari Za Jioni Wakuu!
Kwa Hali Ilivyo, Matumaini Ya Ukawa Kuchukua Nchi Ni Zaidi Ya Ilivyotarajiwa Baada Ya Lowassa Na Team Yake Kuongeza Nguvu. Ushauri Wangu Ni Ukawa Watenge Bajeti Kubwa Kwa Ajili Ya Matangazo Ya Aina Zote. Mfano! Magazeti Yanayopendwa, Bila Kusahau Magazeti Ya Udaku...
CCM kwa hakika itajutia makosa yake ya kumuengua Edward Lowassa katika kinyang'anyiro cha urais kwa nguvu, hii ni sawa na kujifunga wenyewe kwa bao la mkono. Ikiwa UKAWA watatulia vizuri na kwa ufundi, huu waweza kuwa mwisho wa CCM.
UKAWA umeanza kuvuna wanachama na viongozi wa chama cha...
Wadau!
Huwenda swali langu hapa likawa " Je kuna ukweli upi kwamba mwalimu JK Nyerere aliwakataa Mh. John Samwel Malechela, Mh. Edward Lowasa na Mh. JM Kikwete? kama ni kweli, ningependa kujua yafuatayo:-
Sababu zilikuwa zipi zilizo mfanya mwalimu kuwakataa?
Je aliwakataa kwa kipindi fulani...
Mkuu asante kwa taarifa but usingejaribu kulinganisha Dar na Nairobi kwa sababu kwa majengo mazuri na ya kisasa Dar hayawezi kulinganishwa na Nairobi hata kidogo.
Huwenda swali pia lingekuwa kwa nini waziri asisaidiwe kuvuka kikwazo hicho na maafisa wa polisi badala yake anavushwa na kijana anayeonekana wakawaida tu asiyekuwa ofisa.
Hili ni janga kubwa sana, mtu mmoja anaandikishwa kwa masaa zaidi ya mawili haiwezekani wilaya nzima kuandikishwa kwa siku 7. Tuandikishe kawaida kwani BVR zinahitaji maandalizi si chini ya miaka 3 kuandikisha wapiga kura zaidi ya milioni 24 TZ. Kama hakuna hila kwa nini tusirudi analogi kwanza...
Kiongozi wa upinzani ameuwawa huko Burundi.
Standard Digital News - Kenya : Burundian opposition leader murdered: residents
Burundian opposition leader murdered
Standard Digital News - Kenya : Burundian opposition leader murdered: residents
mkuu ndo na sie tunajiuliza hivyo vigezo 50 vinavyotumika tz hatuna kiasi kwamba hata kwenye 20 bora hatumo? m24 walimnyoosha kabila tukawafukuza kwa siku chache.
Wadau,
Hii report vipi, inawezekanaje kwamba katika majeshi ishirini yenye nguvu zaidi Africa Tanzania haimo. Hawa watu wa Africa ranker wapo sawa kweli?
Check hii link. Top 20 Most Powerful Militaries In Africa 2015
Wadai,
Hii report vipi, inawezekanaje kwamba katika majeshi ishirini yenye nguvu zaidi Africa Tanzania haimo. Hawa watu wa Africa ranker wapo sawa kweli?
Check hii link. Top 20 Most Powerful Militaries In Africa 2015
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.