Nape anaongea sasa hivi na Watanzania wa Houston hapa. Chadema walitaka kuutumia mkutano wetu ambao unalengo zuri la kujenga nchi yetu wakajikuta wapo wawili tu. Tunashukuru kikao kinaenda vizuri mambo ya siasa yameisha watu wanachangia vizuri na Watanzania waliochangia mpaka sasa wanajenga hoja...
Nimesikia promo Mlimani Tv vuvuzela wa JK atakuwa Mlimani TV leo saa mbili na nusu usiku kutangaza jinsi CCM watakavyoshiriki maandamano ya kupinga malipo ya Dowans.....
Sio ya kukosa ni kwenye kipindi cha kurunzi...
UAMUZI wa kamati KUU ya cdm wa kuwafukuza BAADHI ya madiwani wanaodaiwa kukaidi agizo la wakubwa umegeuka kuwa neiva mkali sana kwa CDM MKOANI ARUSHA.
Wana CDM wamepita mtaani na kubandika mabango KUWA wamechoka kuburuzwa na sasa wanamtaka Lema arudi alikotoka TLP vinginevyo CDM ihesabu maumivu...
Nape keep it up! hawajakuelewa ulipo hoji hizo pesa za kupandisha mishahara na elimu bure watazitoa wapi. Hata hao vibaraka wao wanao mtete ZItto hawajui kuwa hizo fedha za Posho za wabunge ambazo wamegoma kuzichukua wamesha zichukua na wanadaiwa. Wasitufanye sisi hatujui wasijidai wao malaika...
Ni vigumu kushawishika kuwa hii forum ni ya great thinkers..,nilijaribu kuifatilia hii post na comments zilizofata.,nimeweza kugundua kuwa walio wengi ambao wanachangia hawana hoja za msingi bali hisia za chuki na ukaidi..,hakuna comments isipokuwa moja tu ambayo imejaribu kuainisha majibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.