ww ushatoka Geita,sisi tupo hadi mda huu,tunajua na tunayaona yanayotokea.uchaguzi ulopita yaan 2010,matokeo yalichakachuliwa walio wengi tunajua! ukweli watu washaamka sana c kama usemavyo!
Ucjali mkuu tuko pamoja kabisa.Mwanamke ama bint lazima kwa kias flan afuate mme atakacho,la sivyo,kumwagwa ni nje nje! tatizo hum baadhi ya watu wanachangia kwa ushabiki.
sidhani kama yeye anamatatizo,na nivizuri kuuheshimu uamzi na mpango wake mzima wa maisha.Wangapi wanachumbia mabinti wakiwa kwao,na wkt wa uchumba hukataza baadhi ya tabia toka kwa bint kwamba wao hawazitaki?? na kweli bint anatii na maisha yanasonga na hatimae wanaowana?? kipendacho moyo...
Achen kupotosha,hebu sema chimbuko la jamii yako ni wapi halaf ifuatiliwe ka undan mila na desturi ili kuhakiki kama hizo nguo ndo maadili mema ya jamii kwa ujumla!! Utamfundisha nini mwanao unaetegemea awe kioo cha jamii in future??
Mambo mengine ni ulimbukeni tu!!! Kuiga vitu visivyo vya...
Je wakati mnaaanza mahusiano ulimpa msimamo wako kuwa huhitaj ajiingize kwenye mitandao ya kijamii kama hio?? na kama ndio bas ujue hana utii wala heshima kwako na kama utaendelea kulazmisha utakuja umia zaidi huko mbeleni!! Heri nusu shali kaka kuliko...........Kama hukumpa mashart hayo toka...
Ni kweli kabisa,kama ndo hao bora wanyamaze,wakubali yaishe walizike na huduma wapatayo ndani na nje ya nyumba toka kwa wake zao!!
Binafsi ziwez thubut kuomba kulelewa na mke,bora nirudi shamba nkalime!
Ndg yangu uloeleza yanatosha,achana na wengine wanashabikia tu bila uhalisia,pengine wanaogopa kukusupport maana wake zao wapo humu na akithubutu patachimbika makwao!
Labda kwa mtazamo wangu naweza sema suala la uchumi wa kuchangia ndo linawavimbisha vichwa hao wenzetu.Mwanamke akiona mnaendesha familia pamoja ie.kujenga nyumba nae akichangia,kununua gari,shamba au kusomesha watoto pamoja anakuwa na kiburi flan kuwa mpo sawa.Hapo hapo inampa mme hali ya...
Ni kweli uloyasema,ni bora wakazingatia na wakachukua hatua,yaan kujirekebisha! Wengi tunajua umeamua kujitoa mhanga kueleza ukweli ambao wengi umewashinda.Ndo maana mashambuliz kama unavyojionea hapa.
Aisee hapo ni kweli kabisa mkuu,hujakosea,sema walio wengi wanaweka siri japo wanaumia! Umekuwa muwazi ukweli unauma jamani! Usijali kwa lolote watakalo kupinga! MSG delivered! Big up!
Ndugu,ni bora ujipange kwanza kimaisha,then utatafuta mke baadae!
Mara kwa mara mwanamke akikukuta huna kitu heshima inapungua! just kwa mtazamo wangu tu!
Usijidanganye ndugu yangu,ukweli utakuweka huru siku zote,sema kila ulichokiona usiongeze wala kupunguza maneno.
Waweza singiziwa kuwa ww ndo ulikuwa nae! Kama usemavyo bar kuna watu wengi,yawezakuwa kuna mtu kakuona na kamwona na huyo shemeji yako! na akamwambia rafiki yako,je hapo utajinasua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.