OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200 OFA! SAFIRI BURE SASA. Download app ya uber, ingiza promotion code ya ubertz05 ili katika safari yako ya kwanza upate punguzo la tsh 6200
Mkuu endapo ukichajiwa gharama ya nauli ambayo unadhani si sahihi, nenda kwenye app yako na report. Ili kureport; fungua app yako, chagua 'Your trips', chagua ile trip uliyoifanya na ukazidishiwa nauli, chagua 'I had an issue with my fare', hapo toa malalamiko yako kwa ufupi, na yatajibiwa...
Kuna njia mbili za kuweza kupata mzigo uliosahau, unaweza kuingia kwenye app, chagua 'Your trips', chagua ile trip uliyoifanya na ukasahau mzigo wako, chagua 'I lost an item', chagua 'Contact my dirver about a lost item', hapo utaweza kumpigia simu dereva husika ili uweze kupata mzigo wako...
Kipindi hiki cha mvua jijini DarEsSalaam, usihangaike.Download app ya uber, ingiza promocode ya ubertz5 ili uenjoy safari ya bure hadi umbali unaogharimu tsh6200
Sawa mkuu, maboresho yanaendelea kufanyika. Ila katika safari, bei huwezi kuongezeka pale kunapokuwa na foleni kubwa; au ukimwambia dereva apite route tofauti na iliyoonyeshwa kwenye app
Nimelewa concern yako mkuu, zamani punguzo lilikuwa linaonekana moja kwa moja ukiagiza usafiri, ila kwa sasa kuna marekebisho yanafanyika kwenye app ya Uber, hivyo haionyeshi bei halisi,bali inaonyesha makadirio ya juu na ya chini.
Lakini nikuhakikishie tu, kama umeandikiwa punguzo basi mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.