Search results

  1. CHASHA FARMING

    Kwanini onyo la Putin linachukuliwa kuwa hatari baada ya kauli ya Macron?

    Nucler zinaboreshwaje? Urusi ndio ana means nyingi za ku deluver vichwa vya nucler
  2. CHASHA FARMING

    VICOBA ni idea nzuri, Ila kwa Tanzania haitekelezeki

    Ndio nikasema kwa Bongo ni vigumu sana, ila kwenye nchi zingine hakuna tatizo kabisa,
  3. CHASHA FARMING

    VICOBA ni idea nzuri, Ila kwa Tanzania haitekelezeki

    VICOBA ina histora ndefu sana, ikiwa ni wazo lilio anzia hasa India, miaka ya 80 mwishoni kwenye jamii ya watu masikini kule India ambao walikuwa wakati wa uchaguzi wanaomba omba pesa sana kwa wanasiasa ndio watu wakakaa chini na kubuni saving group. Miaka ya 90 mwishoni ikaingia Afrika hasa...
  4. CHASHA FARMING

    Vita ya Gaza: Uchumi wa Israel wasinyaa kuliko ilivyotarajiwa

    kwa hio IMF wanadanganya sata za Russia? kwa faida ya nani?
  5. CHASHA FARMING

    Radi ya Maajabu yapiga Tanga, TMA toeni Taarifa

    TMA inadili kweli na radi? unaweza predict radi?
  6. CHASHA FARMING

    Tatizo la uhaba wa Dollar ni kubwa

    Tuna export nini? ujue tunazunguka mbuyu bure tu. Nchi ni imejaa frame za kuuza imported goods from China unategemea nini? Nchanzo kikuu cha pesa za kigeni ni nchi kuuza nje bidhaa zake, sasa tunauza nini? Kama Taifa tunatumia pesa za kigeni kununua hadi Midoli ya watoto kuchezea kutoka China...
  7. CHASHA FARMING

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    unauliza soko wakati unaona watu wanakula maembe daily na ndizi?
  8. CHASHA FARMING

    Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

    Matunda - Pixie, haya ni yale machungwa unayaona super market. Washing ton naveli- Aina pia ya machungwa seedless. - Tangarine Seedless yale machenza unayaonaga supermarket kubwa kubwa tu. Limao, seedless, Maembe fanya utafiti aina za maembe. Ovacado jwa ajaili ya soko la ndani, achana na...
  9. CHASHA FARMING

    Mfugaji wa Mbuzi wa Maziwa anayepaswa kuigwa

    wengine wanasema yanaharufu nawashangaa sana
  10. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Kware nafuga kitambo sana, nakula yes sana nyama yake, kwa wiki naka sio chini ya kware 35 hadi 40. Shida iko wapi?
  11. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Kwa hio wewe una tatizo na Mkono mweupe? vipi ungekuwa mkono mweusi na still nisiwe mimi? yaani shida kuu kwako ni mkono mweupe? Aisee, Unataka ya mkono mweusi? Ubonge wa smart unanisaidia chochote kile? Take time mkuu
  12. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Maswaki kama haya google,
  13. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Hio ni nyama ya Kware,Ni chakula so wacha kukariri life. Hayo pia ni mayai yake. Nitafute kwa wakati wako nikupe shule zaidi.
  14. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    1.Alovera ni biashara kubwa sana Duniani, huonagi products za Alovera? au unataka vipi? 2. Hayo mafuta ya Ubuyu mbona yanauzwa na watu wana wananunua, unacho pondea kuna wenzako wana make pesa sasa endelea kupondea tu. 3.Mayai ya kware ni chakula, unaweza yatumia badala ya maayi ya kuku, yaani...
  15. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Dragon fruits ni matunda na ni chakula, nchi ina wapumbavu wengi sana hii, Mayai ya kware ni chakula unaweza yatumia badala ya mayai ya kuku, mfano mayai ya kware 2 had 3 ni yai moja la kuku. lets say wewe unatumiaga mayai mawili ya kuku, unawexmza tumia mayai 3 ya kware badala ya mayai ya kuku...
  16. CHASHA FARMING

    Mfugaji wa Mbuzi wa Maziwa anayepaswa kuigwa

    Maziwa mbuzu yanashida gani?
  17. CHASHA FARMING

    Dragon fruits mdogomdogo inaanza ingia sokoni

    Dragon fruit ni tunda ghari sana ingawa siku zote naamini kitu kikiuzwa ghari sana una exclude kundi kubwa sana kuto kununua. Majority ya watu ni wa viapato vya chini. Sasa ukiuza tunda sh 10,000/ au 15,000/ au 5000/ kwa mtu wa kawaida hawezi nununua ni bora akanunue tikitiki maji sh 2000/ hio...
  18. CHASHA FARMING

    Ulaya Wakulima wana nguvu zilizo pitiliza uwezo

    Ukiangalia maandamano ya Wakulima Ulaya yana fikirisha sana na kujikuta nawaza kama tuna lima huku Africa au tuna tania tu. Ulaya wakulima wana nguvu mno, kaisi kwamba sisi tunaonekana tuna cheza tu, na Wakulima sio tu wana nguvu pia wanaogopewa sana na sio Ulaya tu hata Asia nchi kama India...
  19. CHASHA FARMING

    Video: Makonda alivyoingia na Mkokoteni wilayani Hai

    Kuhadaa wajinga ambao ni asilimia 80 ya population
  20. CHASHA FARMING

    Ewe mkulima. Hebu soma hii nyaraka, hutajilaumu

    Kwa nini wilaya ya kuzalisha Machungwa imewekwa moja tu? Muheza
Back
Top Bottom