dogo acha kuongea uongo. nakuhakikishia tege si CHADEMA hiyo ni 1 halafu kutokana na uchunguzi uliofanywa na mimi kama mwanajamii, hela iliyopotea ni Milioni 6, na haijadhibitishwa kwamba tege kaiba unless otherwise una udhibitisho wako. jambo lingine chuo kikuu ardhi hakimchagui kiongozi...
We ndo unagusa somo husika, hata michezoni mwalimu wa soka awafananishe mafisadi na watu wachoyo wa pasi. yaani mpaka kieleweke, si unajua timu wapo 11 na watanzania tupo milioni 40, hivyo ukimnyima mtu pasi ni kama umemnyima haki yake ya uwanjani
Mwishoni mwa karne ya 20, tanzania ilianza kuuzwa, ila wawekezaji wachache ndo waliokuwa na udhubutu wa kuinunua, hata hivyo walioweza kuinunua walichukua zile sehemu pevu nia yao ilikuwa
1. kuwahi 'productive area' kwa maslahi yao binafsi
2. kufanikisha azma yao ya kiutawala katika nyadhfa za...
polisi nao wamezidi, wangepambana na aliyegonga na siyo kurusha risasi kwa wanaotaka matuta kwa usalama wao. matuta ni njia mbadala baada ya mistari ya zebra kushindwa kuheshimiwa na madereva wengi, kukiwa hatuoni sababu ya kupuuzwa kwa zebra
watakuja tu, kwani tunadanganywa kwa pipi kijiti, tz tunadanganywa kuwa tu wakarimu, huku tukiwaacha wakubwa wakifilisi. wataendaje sehemu ambazo watu wanazijua haki na wanazilinda. tz peace and love au sio wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.