mfano kwa wale wavivu wa kutunza maji kuna baadhi ya college usipokuwa na vyombo vya kuhifadhia utaona maji ni shida sana ila kama ukiwa na vyombo vyako vya kutosha wala husumbuki
halafu jamani elimu popote... ila kimtizamo mfumo wa elimu ya tanzania ni mbovu sana natamani serikali ingewekeza pesa nyingi kwenye sekta ya elimu ili kuboresha miondombinu za shule na vyuo..lakini pia kuwaleta maexpert kutoka nje au kupeleka watu nje kujifunza zaidi technologia na kuweza...
ukiona mtu anaponda UDOM UJUE HAO NDO WALE MASHABIKI WA KATI YA ALIKIBA NA DIAMOND WANAVYOPONDANA...TUNATAKIWA KUUNGANA NA KUSIFIA VYUO VYETU VYA HAPA NCHINI...HIVI UNAFIKIRI UDOM KISINGEANZISHWA WATU WANGEENDA KUSOMA WAPI NA WINGI WA WATU ULIOPO KWA SASA KILA KITU KINAENDA KWA HATUA NA...
whatsapp://send?text=*Nafasi mpya za kazi zinapatikana. Ingia* Jikwamue! *kuangalia. Pia usisahau kujiunga kwa SMS ili upate ujumbe kila nafasi mpya inapotoka. Kujiunga ni bure!* *TAFADHARI SHARE IWAFIKIE NA WENGINE*
whatsapp://send?text=*Nafasi mpya za kazi zinapatikana. Ingia* Jikwamue! *kuangalia. Pia usisahau kujiunga kwa SMS ili upate ujumbe kila nafasi mpya inapotoka. Kujiunga ni bure!* *TAFADHARI SHARE IWAFIKIE NA WENGINE*
whatsapp://send?text=*Nafasi mpya za kazi zinapatikana. Ingia* Jikwamue! *kuangalia. Pia usisahau kujiunga kwa SMS ili upate ujumbe kila nafasi mpya inapotoka. Kujiunga ni bure!* *TAFADHARI SHARE IWAFIKIE NA WENGINE*
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.