Dunia haitupi mafanikio, dunia inatupa fursa, kuzifanya fursa kua mafanikio ni sisi wenyewe, kila mmoja kwa namna zake.
Namaanisha, usingoje au kutegemea Rais au mtu mwengine yeyote akuletee maendeleo, anza wewe mwenyewe kujiletea maendeleo.
Naona huelewi kua panapotafuta wafanya kazi kila siku kuna ukuaji usio wa kawaida.
Abraar tunajivunia kuajiri watu bila kutazama cv zao. Ubora wa kazi ya mtu utajionesha kazini. Tunajivunia hata tunapobaini kua huna ujuzi wa kazi tunakupa fursa ya kujifunza ukiwa kazini.
Unaweza kututuita...
Kabla mtu hajaanza mawaasiliano kuhusu kazi hii, kwanza aelewe ni nini kuwa "Manager".
https://au.indeed.com/career-advice/finding-a-job/what-is-a-manager
Samahani sana, wewe unaonesha hauna umakini kabisa.
Soma vizuri para ya mwisho ya tangazo letu. As a "manager" umeshindwa kabla hujaja, wewe labda uje kuwa apprentice.
Njoo, hakuna asiyekaribishwa Abraar. Lengo letu kuu ni kupeana nyavu, sio samaki.
.fursa zipo nyingi sana. With people who have the right attitude, Abraar inaweza ku shoot progressively kuliko kiwanda kidogo chochote cha precast blocks.
Mradi ukija elewa tu , huji hapa kuwa managed, uje hapa...
Ukweli hawapo serious kabisa.
Kuna mmoja kaja kwa orientation na kabla ya orientation tulimuuluza kama anafahamu kutumia pc (office programs) kwenye kazi, kasema anafahamu kutumia computer (office programs) siku tuliomkabidhi computer tukamkuta kaipa mgongo computer.
Tena huyu alikua ninmtu...
Hii nafasi ya kazi bado ipo, walikuja candidates wawili watatu wakidhani ni kazi ya mchezo mchezo, standards na quality ya utendaji wetu zikawashinda walifikiri kuna mteremko wa kitonga uliozoeleka Tanzania
Kama hauna ubora na standards za kazi za Kimataifa (kujituma, kujisimamia na kusimamia...
Kuna precast roof slabs tunaweka halafu tunamwaga zege la inchi mbili (2" only).
Zinaokoa sana gharama ya bati, mbao za bati, gypsum boards na mbazo zake, zote hazihitajiki tena, na unapata nafasi kubwa sana juu ambayo ingefunikwa na bati. Jionee chini hapa.
Licha ya darasa la vifaa vya ujenzi na ujenzi, hapa Abraar Education Cntre pia tuna madarasa ya Qur'an, English (lugha), Arabic (lugha), Computer (IT).
Pia madarasa ya kutoa uzoefu wa kazi kwa vitendo kama vile "office practices", "book Keeping for beginners", (Store Keeping and procurement)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.