nazan utakuwa umepitia shule kidogo...unakumbuka zile hesabu za kugawanya huyu ana isha huyu...basi Membe ndo alivoisha ili kuondoa nongwa...sasa bado ni kipenzi cha watz na Lowasa hayupo.
viongozi wa kiafrika ni sida sana huko Rwanda Kagame yeye alifanya yake kabsaa kwa Bw. RWIGARA ASINAPOLIS familia imelia ikitaka uchunguzi huru mpaka kesho....na alikuwa mfanyabiashara mkubwa sana RWANDA...zaidi pita instagram...@rwigara
watanzania ni sisi watu wa ajabu sana na hapa ndipo wakoloni walipotumia viongozi wetu machifu kutorosha rasimali zetu nje ya nchi..haizezeka pesa haipo kwene mzunguko na hapohapo unaambiwa trilion 1.5 imepotea hii pesa n nyingi sana laiti ingekuwa imepotelea ndani ya nchi ingesaidia...
ikumbukwe Mh.Rais alisema akiwa Singida..(wengine wanaleta mafuta wanasema n crude oil na wengine mnao hapa hapa) kwa kauli hii n wazi MO aendelee na biashara zingine. tuko kwene vita ya kiuchumi ila bado hatujajua tunapgana nan...
Walaaam,
Yaani kwa madudu haya yaliyoibuliwa na CAG wafuatao wajiandae kwenda jela inaweza isiwe leo,kesho au pengine hata kesho kutwa ila amini nawaambieni watakuja kufungwa tu tena kifungo kitakatifu.
Yaani watanzania wanateseka hivi kwa kukamuliwa na TRA kumbe wanawajusanyia pesa watu...
Mleta mada umekurupuka kwa umasikini wa nchi hii unadhani hicho kitu ni kama ulivoandika.Kwa kifupi ni kila kitu kinalipiwa na world bank mwisho wa siku zinapelekwa idadi ya hukumu na kesi zote za madai mzungu analipa.
Ni ukweli usiopingika kwamba watanzania walikuwa wanamuhitaji sana Magufuli kwa kipindi kile kwani watanzania walio weng walikuwa na imani sana kutokana na utendaji wake ambao haukuwa na shaka kwa wakati ule.
Japo walio wachache walikuwa wanamjua kwan zote walikuwa nazo ila kutokaka na sababu...
Mh. Rais vyeti feki vpo apo ikulu...Gerson Msigwa mmjawapo unawezaje kitia sahihi bila kuhakiki kilichoandikwa..n lazima Watu walalamike makosa ya kiingereza yewahi kutokea ikasemwa sio lugha yetu na kiswahili je? na makosa ya kiuandishi yanatofautiana kulingana na ngazi za kitasisi.
ilo la kutanguliza kias cha pesa mtu anachodaiwa sio rushwa n matakwa ya sheria na ili uweze kusikilizwa madai yako au rufaa n lazima ulipe kiasi icho ata kama umeonewa na ikitokea umeshinda basi kiasi icho utarudishiwa au kuingizwa kwene malipo yatakayofuta kama utaendelea na biashara...ila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.