Lumumba shida. Sijui wako nchi gani. Nashindwa anae sifia hali hii anafanya shughuli gani za kumuingizia kipato mpaka aone mambo poa. Au ameajiriwa wp maana waliopo serikalini wanalalamika. Wakulima hakuna soko la mazao yao. Gunia la mahindi 30000. Gharama za kuzalisha kilo moja ni sh 500. Mimi...
Mimi nadhani mzazi aliyesomesha mtt private schools anakafanya vzr serikali inabidi kumpongeza n kumsapoti. Tunapokuwa n Engineer mzuri ni kwa faida ya nchi sio mzazi. Nina rafiki yangu amemsomesha mtt private schools. Mtt akamwambia bb yake nataka kuwa Engineer wa ndege. Akampeleka China 5...
Sio kweli kwamba sehemu zilizona wabunge wa upinzani ndio zenye kero tu. Kazi ya mbunge ni kutoa au kueleza kero za wananchi wake kwenye vyombo husika. Kero anazoweza kutatua kwa kuunganisha nguvu za wananchi hufanya ivyo. Kiongozi anapoelezwa matatizo ya wananchi akakimbilia kusema mbunge wa...
Sio kweli kwamba sehemu zilizona wabunge wa upinzani ndio zenye kero tu. Kazi ya mbunge ni kutoa au kueleza kero za wananchi wake kwenye vyombo husika. Kero anazoweza kutatua kwa kuunganisha nguvu za wananchi hufanya ivyo. Kiongozi anapoelezwa matatizo ya wananchi akakimbilia kusema mbunge wa...
Ni kweli serikali inahubiri viwanda lkn imeweka mikakati gani au mazingira ya viwanda hivyo kuwepo. Mfano mdogo tu leo hii unasema mafuta ya kupikia kutoka nje ya nchi kodi yake iongezwe maradufu. Mkulima wa alizeti au mazao mengine ya kuzalisha mafuta tumemtengenezea mazingira gani ya kuzalisha...
Kweli kbs upungufu wa chakula kunatokea kwsb nyingi. Mwaka huu kunatatizo la wadudu wanashambulia mahindi. Sehemu nyingine mvua zimeketa mafuriko mazao yameharibika. Tusiwape lawama watu hawa wakiwa n upungufu wa chakula
Hahaa yule mtu mahiri wa zamani kawa kituko cha mwaka. Kazi CAG nikukagua matumizi ya serikali. Alichokiona ni kwamba 1.5 trillion hazionekani zimetumika wapi. Na accounting officers walitakiwa waeleze ndani ya siku 21 . Hawa kuweza kutoa majibu. Sasa unaposema CAG aeleze hela hizo zipo wp sio...
Huu ndio ukweli bado sana kwa nchi yetu kujitegemea. Tuipongeze serikali kwa kuongeza makusanyo kwa mwezi ukilinganisha n awamu iliyopita. Bado tupombali kutoa msaada kwa wazungu. Mitumba lzm tuvae, hongereni kwa kuona katazo la mitumba tulikuwa tunakurupuka. Japo kuna watu walishabikia bila...
Tatizo uelewa wako mdogo. Gharama za kuzalisha kilo moja ya mahindi inakaribia sh 500 . Sasa unapozuia mkulima asiuze kwenye soko linaweza kumpa faida unadhani kesho ataweza vp kulima. Huwezi zuia bei ya kilo ya unga isipande kwa kumuonea mkulima. Athari yake watu haswa wakulima wakubwa...
Busara ungesema tuhuma hizo zichunguzwe maana watu wametajwa kwa majina. Haya mahaba kwa mtu yanatoka wapi hivyo. Wewe ni mkewe au ndugu yako? Tuhuma hizi ni nzito anae tuhumiwa yupo mwacha akanushe mwenye. Au mtete kwa hoja km ukweli unaujua. Maneno ya chapa kazi , washamba maneno ya...
Huyu nae tahira serikali inawasemaje wake walishindwa nini kueleza haya? Waliwezaji kukanusha kushikiliwa ndege yetu kupitia msemaji huyo huyo washindwe kueleza upupu huu unaotaka watu wauamini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.