Mala nyingi mtu kutoa mkojo WA manjano na apimapo anakutwa Hana tatizo lolote na kushauliwa kutumia maji ya kutosha ila hata atumiapo maji hayo hakuna mabadiriko.
Ila cha ajabu wakati wa baridi na mvua mkojo wake huwa mweupe hata bila kunywa maji.
NINI CHAWEZA KUWA CHANZO YA HILI TATIZO NA...
Heshima kwenu wakuu,
Naomba kuingia kwenye maada moja kwa moja Eti kunauwezekano kwa mtu aliye disco mtihani wake wa mwisho chuoni akarudia mwaka mmoja huo alio disco na kama kunauwezekano je ni taratibu gani za kufwata.? Naomba niishie hapo nategemea mawazo yenu ndugu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.