Research Questions:
Ethrographic Reasearch, Types
Marketing Research
Maswali ya Marketing Price
Na mengine ni Based in marketing tu kwa ujumla.
Maswali ni Matano, ila yapo kama mia.
Habari za Muda wakuu,
Naomba Ushauri na kwa yeyote ambae ana uzoefu na inteview za utumishi kwani ndio mara ya kwanza na attend, kada ya commercial officer II (TRC). Walau nipate mwangaza wa interview zinavyokua.
AHSANTE
Wakuu, habari za Jumapili.
Ningependa kujua zaidi kuhusu biashara hii kwa wazoefu, nahitaji kuifanya biashara hii sehem ya mjini. Kuuza vinywaji baridi tu:
-Soda aina zote (chupa na take away)
-Maji
-Juice
-Tanga Fresh - Mtindi.
Ningependa kujua zaidi kwa bei za jumla vinapatikanaje na...
Habarini Wakuu,
Kwa mwenye ideas, maswali ambayo yanaweza kuulizwa na mawazo juu ya interview za sales kwenye banks, naombeni msaada kidogo, kwani hii ndo ya kwanza kufanya, na napenda kuifanya vizuri kabisa.
Ahsanteni
Wakuu, nnaomba ushauri na mawazo juu ya biashara nzuri ambayo naweza kifanya Jijini mwanza, nikiwa na kiasi cha Tsh 2 million. Nahitaji kwenda kuishi na kufanya Biashara mkoa huo, Ushauri, Maoni au Mawazo utakua msaada kwangu.
Ahsante.
Sawa mkuu ntaenda hospital za hayo mambo, ila TB haiwez onekana kww xray?? i mean mapafu yalioathirika hayafahamiki kwa xray? maana nilipiga na haikua na tatizo lolote kuhusiana na hayo.
Hahaha Hapana mkuu, nna uhakika nalo, liko vyema. eneo lenye maumiv ni sehem ndogo tu kwa ujumla...sidhan kama godoro pia lingeweza ku-attack eneo dogo kama hapa, kama lingekua bovu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.