Wana jforum naomba kufahamishwa km foundation course inatumima miaka hii ya sasa na huwa inakuwaje kuwaje.??
NB jukwaa la elimu usijibu kidaku mbona majukwaa ya udaku yapo tu hujui kitu kaa pita kushoto kwenye huu Uzi watu wanashida ya kufahamu
Nimemaliza kidato cha sita nikapata ESS nikaapply cheti ualimu (grade A)
Je ntafika chuo kikuu kwa njia gani ??
Nifahamisheni Tafadhali [emoji120][emoji120][emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.