ACCOUNT ZOTE ZA CUF ZIMEFUNGULIWA NA BODI MPYA YA CHAMA.
NI KATIBU WA BODI MHE THOMAS MALIMA KWA NIABA YA BODI AMEFUNGUA ACCOUNT ZOTE ZA CHAMA CHA CUF.
Ni kupitia Katibu wa bodi ya wadhamini ya CUF Mh.Thomas Malima amefanikiwa kufungua account zote za chama zilizozuiliwa kwa muda na Katibu...
Kuhusu Seif Sharif, huyu tayari Allah anamfedhehesha kutokana na uchafu wa matendo yake ya kishetani ambapo mengi ya matendo hayo yako kinyume na maadili/maamrisho ya dini zote.
CUF ilianzishwa kwa Kumueka mbele Mwenyezi Mungu ili Akibariki, kwa sala za dini zote chini ya Mhe. Mapalala na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.