Mkataba wake uliisha mwezi ulopita ,wakaamua kumuongezea tena ,ila kiukweli yanga inachechemea hakuna parfomance kabisa,yaani kiukweli tunabahatisha tu ,Tim haiko sawa,sab zake nazo muda mwingine haziisaidii Tim kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Angesimama kwenye uandishi tu! Politics angeachana nazo zitamfanya apoteze umahiri wa uandishi na anajiweka pabaya zaidi kwa hayo makundi ya kisiasa anayojimix ,nafikiri Jeri muro anahitaji ushauri anapotea,na kujiongezea maadui bila sababu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmmh! Huyo Dogo keshajichanganya,sasa anaanza kuishi kama kindege,huku polisi wanamtafuta,hukuwafuasi wenye hasira taaabu kweli kweli,matatizo mengine ni ya kujitakia!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa cha habari kinajieleza ,wengi wameandika kama wanakimbizwa,hakuna utulivu,vielelezo wala maelezo ya kina kuhusu tukio la kupigwa risasi Lisu.Naomba mwenye maelezo kwa kina atujuze kwa utulivu sio kwa mihemko kama habari za wengine hazieleweki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ndo tatizo la short term plan kungelikua na long term plan za ujenzi wakati wanajenga barabara za mwendo kasi,wangejenga na ubungo interchange sasa walikurupuka leo tena wanarudi kujenga interchange ,wakimaliza ndo utasikia wanaanza ujenzi wa barabara 8 hilo eneo wanalobomoa mbezi hivi sasa...
Sioni kama ni haki kuwabagua watoto wa wakurugenzi,mameneja ktk makampuni,viongozi wa umma na kisiasa na waliosoma Shule binafsi hii sio sawa hata kidogo kwa sababu kuna wakati maisha yanapanda na kushuka so kuwanyima mkopo kwa sababu hizo ni "ubaguzi"
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo vyombo vyetu vya habari ni wavivu au hawajui wajibu wao, huwezi kutegemea habari kwenye press conference za kuambiwa na RPC au kiongozi yeyote,halafu ukaileta kama ulivyoambiwa au kuhutubiwa,ni lazima kuwe na waandishi wafatiliaji,wachokonozi,wachunguze kwa kina kisha wapime walichoambiwa...
Hiyo ni kweli kabisa, yanapotokea matatizo kama Haya ,huu ndo muda muafaka wa kujifunza ili tusirudie tena makosa kama Haya,unapowakaribisha ndugu wakae kwako kuwe na sababu za msingi sana, na sio ooh!anangoja matokeo ya mtihani au kaja nimtafutie kazi, hiyo hapana unaweza kuleta balaa nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.