Nimependa ujumbe mzuri wananchi tusikubwali kufa na chama cha mabwepande wanakupeni pombe na tishirt mkafanye vurugu wao wapo salama na familia zao, mwigulu unanuksi kwani jimbo umebinafsishwa mpaka hutaki mtu mwingine afanyemkutano? mbona ccm mnajidanganya hivyo???/
kama upo tayari jipange usiogope uchawi kwa sababu hata arumeru ccm walikuja na waganga wao akina maji marefu but walikutana na jesus akawamaliza wote so wewe jipange 2015
atapapta kwani kurithishana ndio jadi zao si unaona makamba kaacha mbegu, na malechela anataka achembegu kikwete atamwacha riz, na wengine wengi jamani mwashaangaa nini
nimefurahi sana kusikia kwamba bawacha wabatafuta wanawake na wadada mbona tumejaa tele tatizo hatujui tuanzie wapi viongozi wetu mmelala jamani amkeni basi muda ndio huuu wanawake ndio wapiga kura tunaomba mawasiliano ya bawacha ili tujue tunaanzia wapi please
Jamani kwani mlitegemea hiyo nepi iseme nini zaidi ya aliyosema ndio mwisho wa unafiki umekaribia ila mungu ni mwema malipo ni hapa hapa duniani, mutayaona muda si mrefu.tuwasamehe hao magamba kwani hawajui wafanyalo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.