Habari kama kichwa cha habari kinavyojieleza naitaji sofa nzuri za kisasa nipo mbeya kama kuna fundi au mfanyabiashari wa sofa anaweza nicheki pm nimpe number ya whatsapp anitumie picha Asante
Habar ya wekend waungwan jan katik pitapita zang kkoo nikafanikiwa kununua hak ka voda phone sasa leo natak nikatumie nashidwa hat kupat menu tok morng na haha ulimi nje nikawaza jins ulya kupat msaad nikapat jibu hap ndo mwisho wa matatizo so masada jamn hap nilipofikia nini cha kufanya *ASANTE
Kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa.. Wadau msaada siku ya kumpa mimba mwanamke ambae kila tarehe 28 anaingia kwenye siku zakee,, plz
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.