Mwakyembe pole kwa majukumu.
Nakumbuka nilitoa ushauri hapa jamii forum kuhusu ushirika ulioupeleka kule kyela wakati katika yale mazao yaliokuepo kwa ilani ya uchaguz kakao haikuepo ulitumia mamlaka kuhakikisha ushirika unaenda kyela.
Wananchi walijaa na hasira sana lakini walikwisha kupa...
Duh! Nipo najamaa zangu kampuni yetu iliisha fungwa sasa tukapanga tuchukue pesa tukafanye kilimo. Tumekanyaga nssf hadi sori zimeisha tunaambiwa bado file halijafunguliwa
Duh! Nipo najamaa zangu kampuni yetu iliisha fungwa sasa tukapanga tuchukue pesa tukafanye kilimo. Tumekanyaga nssf hadi...
Leo watu wameachishwa kazi kutokana na mazingira magumu ya wao kuendelea kuajiri, watu wanahitaji pesa zao ili waweze kufanya ustaarabu mwingine lakini mpo kimya na hela zao. Wapeni pesa zao jamani wakafungue hata vibanda vya mihogo.
Tatizo kubwa ni bei ya korosho ndo inayo wasumbua wakulima, je wizara inahusika vipi hapa? Duniani soko limezingua na sisi hatuna effect. Tunajisaidiaje hapa?
Je mkuu wa nchi anamaanisha kuwa waziri wa kilimo na manaibu wajiuzuru kutokana na kutofanikiwa kwa minada ya korosho? Maana nimemsikia Kassim Majariwa akisema wizara ya kilimo ijitafakari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.