Wakuu naomba msaada jinsi ya kusafisha kifaa hiko cha kupoozea/kuchemsha maji, kwani kinatoa maji yakiwa yamechanganyika na chembechembe za uchafu mithili ya ukoko.
Sehemu zinazoonekana kwa ndani baada ya kuondoa chupa zinaosheka. Tatizo ni mirija inayopitisha maji ndani kwa ndani hadi sehemu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.