IT ni kozi nzuri iwapo huitegemei saaana kuendeshea maisha yako, ni moja ya masomo yanayohitaji ubunifu na kujituma sana kuyafanya ili yakuletee matokeo mazuri,kama umependa kweli toka moyoni nakushauri usome yatakutoa kama sio kwa kuajiliwa basi hata kujiajili inawezekana pia!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.