UPDATES
Wakuu niliongea na mwanamke bado kakomaa ana msela ambaye ana mtomba na mimi ameshakiri kunitoa moyoni. Hivyo next week rasmi tunaenda mahakamani kuvunja ndoa aendelee na jamaa alieamua kuwa nae na kuhusu watoto nimemwambia sipo tayari kuona wanalelewa na huyo jamaa hivyo nitafanya...
Mimi ndo nlianza kumkojoza halikua hajui kabisa suala la kukojozwa sasa naona alipoona nimeacha kwenda kumkojoza akaona atafute msela wa kumkojoza. By the way nimeona ushauri wa watu wengi naona nimpotezee tu nijali wanangu basi yeye aendelee kutombwa tu
Yani mkuu hajanizuia kwenda kuona watoto ila aliniambia hivi nikienda sitamkuta nitawakuta watoto tu, hii baada ya kumwambia nina hamu nae. Kwa hiyo inaonekana hataki tena kukutana kimwili na mimi kwa sababu kule amepata hawara anaemtia tia. Kwa hiyo siku nikienda yeye atanikwepa kwa kuondoka...
Muslim mke christian. Tulifunga hiyo ndoa baada ya yeye kugoma kubadili dini na yeye ndo alitaka mi nibadili nikamgomea
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Kuna kipindi alianza utaratibu wa kudai talaka nahisi baada ya kukutana na huyo kijana
Alibakiza tu hatua ya kuwasilisha madai ya talaka mahakamani ila ghafla akaacha inabidi sasa nimkumbushe aende akamalizie hatua iliyobaki ili awe huru kufanya uzinzi wake.
Sent from my SM-J111F using...
Asante kwa ushauri, taratibu napata relief moyoni. Ni dharau kubwa kweli na nlimwambia iki ulichonitamkia ni dharau ya hali ya juu. But ni muda mrefu sijawahi kupata furaha kwa huyu mwanamke. Nilipata furaha kipindi namlea hana kazi ila alipopata kazi baada ya muda ndipo furaha nae ikaanza...
Nimejitahidi sana na hata haya masuala yaliyoibuka ya kuambiwa ana mtu tayari nimwache aendelee na huyo aliempata nilikua katika hatua ya kuleta suluhu tuendelee na maisha ya kujenga familia ila mwenzangu ndo kaamua hivyo.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Yaani kukaa miezi 5 bila kukutana kimwili ndo iwe kigezo cha yeye kuanza kutombesha....!! Nahisi nimeoa mke mwenye hulka ya umalaya sikumgundua tu mapema.
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
Wakuu salamu kwenu.
Naandika uzi huu kifua kikiwaka moto kwa hasira.
Iko hivi nina mke mwajiriwa, tumefunga ndoa na tuna watoto.
Ni muda sasa tunaishi mbalimbali kiasi kutokana na inshu za kikazi. Ila siku za nyuma nilikua na utaratibu wa kutembelea familia (mke na watoto) na kupeana haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.