Mwanamke anayetakiwa kuolewa ni yule ambae atakua mtii kwa mmewe kama wanavyoelekezwa na Biblia....Siku hizi wasomi wanajiona elimu zao haziwaruhusu kutii waume zao, kwa upande wa wale wa kawaida tu root za kwa waganga kibao sana ili aku control. Mme akigundua hizo element anaona bora tua alee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.