nani alitakiwa kutoa taarifa kati ya spika na mwathirika Lissu. kumbuka Lissu kaumia kazini. sio nyumbani kwake ni nyumba za serikali ambazo wameandaa kwa maafisa na kuwahakikishia ulinzi wawapo kazn(bungeni)
Mpaka wabanwe ndio huamka.haya ile timu ya kuunga mkono pingeni sasa. maana tulipopinga mkasema sisi sio wazalendo sasa sijui na serikali yenu sio wazalendo ama vipi??
huyu mbunge kaongea ukweli mtupu ,
sisi ndio tulikua wa kwanza kuleta nongwa za kubiashara. nataka anaye mpinga huyu mbunge apinge haya anayoyasema kama hatukufanya
mimi naweza kumwondoa kwa kushinikiza aliye mteua amtoe. unataka kuniambia hata afanye madudu gani wananchi hatuna uwezo wa kumtoa mpaka tumsubili aliyemteua??
sio kweli ndugu wanaotakiwa kujaji kama anafaa au hafai ni anaowaongoza.sisi wana dar ndio tunatakiwa kumkubali na kumkataa na sio aliyemteua. je akiwa ni rafik yake kiasi cha kumwonea aibu kumtengua ni kigezo cha ubora wake??
ni muda mrefu kumekua na malalamiko toka kila pande juu ya uwezo wa makonda. awali ilionekana ni upinzani ndio wana wivu naye lakn kadri siku zinavyosogea ule ukweli uliokua unapingwa muda mrefu umeanza kujifunua.
kauli ya spika sio ndogo ni kubwa sana haipaswi kupuuzwa. kasema mkuu wetu...
alisikika akisema ana nguvu! nguvu gani hadi spika anamwogopa??
amedgihilisha maneno ya watu kwamba makonda ni naibu rais . kama alivyosema bashite mwenyewe ukimwondoa Magufuli ni yeye kwa viongozi wanaojiamini. kwa lugha rahisi yeye na rais ni sawa sawa
ww mwenyewe ushakosea, unaongelea mpira hapo hapo unapiga kampeni za urais 2020. sasa hapo unategemea upinzani waungane na ww kwa lipi??
ccm ndio wanaharbu mpira. taifa star ilishinda sifa kwa magufuli ikifungwa mnakausha kama hampo. kama mnavyompa sifa mpeni lawama pia kwa kufungwa
tatzo ni sheria zetu. hizi sheria zilikuwepo miaka yote. na ilikua ukipatikana lazma ulie na kusaga meno hata kipindi chawatangulizi wa magu. mfano mzuri mafuta. kodi ni kubwa kias kwamba yanapitia dar kwenda malawi na nchi zingine lakn cha ajabu hapa kwetu penye souse ni bei kubwa kuliko huko...
pumbavu!
nahisi wewe sio mtanzania! kiswahili tuu shida ndio utajua mabaya ya JPM?
moja tuu la korosho kwa wenye akili alipaswa akae pembeni. amenunua huku hana wa kumuuzia anakuja kumfukuza waziri kwa kukosa wateja. hizi akili au matope??
akili yako ndio matope,ukiwa una maana hiyo unataka kutwambia JPM hajui kwamba mabilionea wa madafu yetu tunafika milioni na ushee?? ubilioni ni pamoja mali unazomiliki je unaamini milioni moja hatufiki tunaomiliki bilion moja na zaid za kitanzania??
rais mwenyewe anajua anaongelea dolla ndio...
hivi bado kuna mwanadamu hamwamwamini Nyarandu??
kuna mbunge gani kaenda kumwona Lissu?
mnatoa mfano mama samia anaripoti kwa nani mpaka aogope kwenda kumwona??
ni mwinyi tuu ndio nahisi aliguswa na ubinadamu maana alifunga safari maana hata mama samia pamoja na kwenda alipitia baada ya...
mzee mwanakijiji unadhani wasiojulikana ni kweli kwamba hawajulikani??
aliye mtishia bape bastora anasema hajulikani lakn je ni kweli hajulikani? anajulikana na kila mtu alifanywa nini??
waliopiga bastora tajiri wa mwanza naye akawarudishia na kuwaumiza je hawajulikani si wanajulikana...
eti utawala huu nao una wafuasi na wanafurahia kabisaaaa yanayoendelea!
kuna siku Mungu atatuuliza ulikua upande gani katika nchi yako! ulikua upande wa wanaoteswa au watesi wao??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.