Fatuma aache ujanja ujanja,hapo hasitaafu bali amefutiwa leseni,awe tu mkweli kuwa alikiuka professional ethics na hakuna namna anavyoweza kukwepa tofauti na huruma tu na utu
Umedanganywa au wewe ndo umechanganya mambo? Waziri wa fedha alisema kwa sababu ya covid 19 ukuaji uchumi utashuka toka 7% hadi 5.5% na raisi amesema jana sasa nani amekudanganya?
What is the effect of political polarization to Economic development? we have western and Eastern pact if one disturb us we go for the other, we are non Aligned country
Ngoja tuone tunakoelekea,kila anayekatiwa mirija anageuka kuwa mtetezi wa Demokrasia,baada ya kuona kanisa linaingia kwenye Economic crises,Maaskofu sina ubaya nao maana ni watu kama watu wengine na wanamaslahi kama wengine,Hivyo wakiona kibano kimekaza lazima walalamike kama watu wengine tu...
Yawezekana bado anashughuli zake binafsi,alafu tunakimbilia kusema ametekwa nakuliagiza jeshi la polisi,TSNp ni nani wa kuagiza jeshi la polisi au mnaliomba au katiba inasemaje hapo? Tunakimbilia kusema ametekwa nani kamteka?
Hapo hujajibu,matokeo yake unamponda mtoa mada wakati anatafuta solution.Kama ni mitaala,kuna waafrica wengi tu wamesoma huko kwa wazungu,kwa nini wasije na mwarobaini ya yale yanayofundishwa huko? kuna wengine ni waalimu huko kwa wazungu,hivyo kama ni mataala ya elimu yao hakuna siri tena.Rejea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.