Search results

  1. Mbanti

    Materials ya chemistry na physics O'level

    Karibuni wenye watoto, wadogo zenu, ndg, jamaa na marafiki wanaosoma masomo ya sayansi kidato cha 1-4 Physics na Chemistry. Materials haya ni maandalizi mujarabu kabisa kwa ajili ya ufaulu mzuri wa masomo tajwa hapo juu kwa vijana wetu!
  2. Mbanti

    Ndoto Nyevu: Ndoto hizi zinakoma kulingana na umri?

    Wakuu za asubuhi, Hivi wet dreams - ndoto nyevu (ile kujipiga kibao ukiwa usingizini) hii huwa inaashiria uimara wa anayetokewa na hii au hata isipokuwa inamtokea mtu ni sawa tu? Na je, hii huwa ina ukomo yaani hutokea kwa wote uwe kijana au hata mwenye miaka hadi 50+ inatokeaga? Kiafya hii...
  3. Mbanti

    Naomba ufafanuzi kuhusu hili la idadi ya korodani

    Mwanaume kuwa na korodani moja au kuwa nazo tatu ina shida yoyote?
  4. Mbanti

    Ulishawahi kumbwa na hali hii?

    Bandugu habarini za mida hii na poleni na mihangaiko ya hapa na pale. Hivi uliwahi kutokea unakuta umekutana na manzi hamu inakata kabsaaaaaa....yaani mzigo huo hapo unakuwekea na kukubinyulia vizuri tu ila mzee anagoma kabsa na wakati sio kwamba upo na matatzo labda inatokea au ukipiga kimoja...
  5. Mbanti

    Nawiwa Kufahamu suala hili

    Hivi inaposemekana kwamba mwanaume aliyeathirika kwa kupiga puchu kwa muda mrefu uume unakuwa kama wa mtoto. Sasa nikijaribu kuimajini kananilii kamtoto jamani inakuwa sasa iko vp dume la miaka kama 25 nanilii kama ya mtoto kweli...si hatari wakuu kuwa na kama ya mtoto
Back
Top Bottom