Ni Kweli mwanamke akiamua kafanya lake anafanya,lakin kuna baadh ya mambo hutakiw ku entertain, mfano mkeo au demu wako awe na marafik wengi wakiume na ww ukaona ni sawa tu eti kisa akiamua kuliwa analiwa,noo kuna vitu hutakiw entertain kabisa.
Men,
Here is our fossil calculator:
- Divide your age by 2.
- Add 7 or 8 or 9 or 10 (7,8,9,10)
- That should be her age.
Y = X ÷ 2 + (7/8/9/10)
X is your age.
Y is her age.
Be patient. Don't rush.
Utakuja kupigwa tukio hilo , hadi utafungua Uzi hapa jukwanii,Yani unasema kabisa unampenda? Huyo ni Fox mzee,macho kwenye salary,kama unabisha siku unamgonga ,akilala kagua hiyo simu yake ndio utaelewa huyo wakuoa au wakupita nae tu..
Asee acha hizo kauli eti unampenda,As a Man sijui una gain...
Hilo ni ticking Bomb Mkuu,utakuja kukosa kila ktu, Mpe hiyo TV aende zake,usikubali Mwanamke akulipie kodi,unaambiwa asipande hata maua kwako,utakua umeisha
Kuna watu hawana exposure bado kabisa humu ndani,sijui ni wakazi wa wapi,yani unajiuliza huyu kweli hata chuoni kafika? Mimi nimemshangaa jamaa [emoji23],anafikiri malaya ni mtu alieishia darasa la 7 tu,kuna bitches mpaka kwenye Corporates sembuse vyuoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.