majuzi nilisikia habari kutoka bbc idhaa ya kiswahili kuwa kampuni ya kompyuta ya kimarekani IBM ambayo imefungua tawi nchini inataka kusaidia kupunguza foleni jijini dar kwa kutumia teknolojia ya kompyuta,hili swala likanifanya nijiulize wataalamu wetu wako wapi? au tatizo ni nini
kwa uzoefu wangu wanawake wengi hawajui nini wanataka yani wako emotional zaidi kuliko kuwa realistic, mpaka wafanye makosa mengi ndio wawe makini katika kumkubali mwanaume atakae mfaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.