Habari zenu wakuu....
Wiki iliyopita nilikutana na msichana mzuri sana mrefu mweupe.
Hajajazia sana ila kiukweli nimempenda anavutia.
Alikuwa anapita maeneo ya hapa na biashara zangu, nikampiga mkono akasimama.
Akanipa namba za simu, sikukawia nikatangaza shida zangu.
Naye akanielewa, sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.