Ndg ukweli haya mambo ni magum saana akili zetu binaadam tim flani huwa kama wanyama hivo lolote linaweza toka
Hebu fikiri mzazi anawezaje kulawiti mtoto wake wa kike tena kwa kuwachanganya iwe jambo kama hili
Simaani kama kweli babu seya alifanya ila tu kwa akili za wajinga wapo watu hufanya...
Wewe kubenea ulimsakama lowasa kwa ufisadi na maneno mengi na kutaka kudhurika kwa tindikali
Leo kweli umshafishe kirahisirahisi hivi kweli itaingia akilini!!
Taraatiibu tu mwisho kitaeleweka ukiona watu wamekasirikia jambo bila kujua wewe usiwakasirikie tulia hasira zipungue zikisha pungua anza kuonyesha hisia zako
Tundu lisu sasa utafumbuliwa macho kuchuja pumba na mchele.
Mungu akujalie upeno
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.