Tatizo letu watanzania ni kulalamika, hakuna anayetoa mawazo ya kurekebisha, kuelekeza, maoni ya kujenga. Ni malalamiko kila siku, mara Serikali haijafanya, haikutakiwa kufanya, mara Rais kakosea. Malalmiko mpaka majumbani mwetu.
Kwa mtaji huhu hatutaweza kuendelea maana hata hao wanaojiita...
Wapendwa wana JF,
Nachukia UFISADI, NACHUKIA WIZI, NACHUKIA UKWARE, NACHUKIA UNYANYASAJI WA WANAWAKE NA WATOTO, lakini acha yote hayo , NACHUKIA WASINGIZIAJI, WAPIKA MAJUNGU, WASHAKUNAKU na wale wanaojifanya kuwa wanapiga vita ufisadi kumbe wao ndio "MAFISADI"
Naungana na Ngao One kumsihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.