Chadema Mkoa wa Dar Es salaam,Tunaunga Mkono Msimamo wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) Kwakutokufanya kazi na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam Ndugu Paul Makonda vile vile Tunalipongeza Jukwaa hilo Kwa kumtangaza Mkuu huyo wa Mkoa kama Adui wa Uhuru wa vyombo vya habari Nchini.
Vyombo vya...
Maisha ya wakazi wa Mwanga na siasa zao kwasasa zimalebadilika sana, huwezi kumtofautisha kileo na mwanga kwasasa. Kwa upande wa ccm wanawakati mgumu sana kutokana na siasa zao za kikanda walizozitengeneza kwasasa wanamakundi ya Usangi na ugweno na kileo ameanza kucheza karata yake vizuri hata...
Wewe Mbeba mabox hicho ni Kitambi ama umevimbiwa? Kaa mbali na Chadema, CCM wenyewe walikutosa uchaguzi wa ubunge wa Africa mashariki .. bado kiherehere hakijaisha?
SALAMU ZA PONGEZI ZA CHADEMA KWA USHINDI WA BARACK OBAMA.
Novemba 6 wananchi wa Marekani walishiriki uchaguzi mkuu ambao ulikuwa na mchuano mkubwa baina ya vyama vikuu vya Republicans and Democrats. Republicans waliwakilishwa na Mitt Romney na Democrats wakiwakilishwa na Barack Obama ambaye...
Hoja ya Kilewo inahitaji majibu ya kina, Ama ningalisema mjadala mpana sana, Wanajf tulikuwa tumekosa vitu kama hivi muda mrefu ambavyo unajua kabisa kuwa hapa mtu alikaa chini akafikiri kisha aakaandika siyo kukurupuka na kutaka kuandika ili ajaze profile yake vitu.
Mimi ningalizadhani...
Lema huna mtu wakukufikia kwasasa kwenye aina ya siasa unayofanya hongera sana tupo nyuma yako, mnao taka cv za watu nyie na cv zenu mmelifanyia nini taifa? Zaidi ya kulihujumu taifa na elimu zenu feki? Nenda lema tunaamini unachokifanya kuliko hawa mabwabwa huko wanao bwabwaja, hata leo tumejua...
Katika kile kinachoendelea kwasasa kwenye sakata la mgombea Urais 2015, kampuni ya simu za mikononi ya husika katika maandalizi hayo yenye Lengo la kumsimamisha mgombea Binafsi ama Mgombea huyo akagombee kupitia ADC na ndiyo maana ADC imewekwa Rangi za Chadema maana mgombea huyo atatokea Chadema...
Acha wivu wakijinga maana alichokifanya katika vipindi vyake hamna mtangazaji wa Talk show ambaye ameweza kufikia kiwango alichonacho Joyce. Amethubutu ameweza na sasa anasonga mbele, tutamuunga Joyce mkono kwa kila namna.
Ngoja tusubiri tuone huwo ujio wake wa kishindo maana tunahamu naye sana. Vipi anarudi kwenye luninga ile ile ama kabadili? Vipi kuhusu bongo movies maana amekaa kimya na kumeyumba sana, huyu wa cloud kazi yake kuiga tu hana jipya alilo lileta kwenye tasnia hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.