Hela za walimu zinaliwa na watu wengi ktk suala la mtihani ndiyo maana wanapata kidogo.
Kwenye mitihani utawakuta usalama, polisi, takukuru wote hawa wanapiga hela zilizopaswa kulipa walimu
Kuchanganya divai na maji sio kwa lengo LA kupunguza ukali.
Yesu alipochomwa mkuki ubavuni damu na maji vilitoka. Divai huchanganywa na maji kwa 7b hiyo kuenzi hilo tukio
Kitabu cha Sira sura ya 31
26Tanuri hupima ugumu wa chuma,
na pombe hupima mioyo katika shindano la wenye kiburi.
27Pombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi.
Maisha yafaa nini bila pombe?
Imeumbwa iwafurahishe watu.
28Kunywa pombe wakati wake na kwa kiasi,
kwaleta shangwe moyoni na furaha...
Ukimpa nafasi ya kukaa karibu na mwanaume kwa muda wakawa na interest zinazofanana tayari kaliwa labda mwanaume awe hayuko tayari
Wanawake wanafall haraka sana kwa wanaume ambao wanakitu cha tofauti mfano talent, pesa nk
Kuoa ni kutoa sadaka maisha.
Ndoa ni taasisi ambayo inakupima uvumilivu, kuchukulia poa na uwezo wa kufikiri na kufanya maamuzi.
Ni taasisi ambayo mwanaume kama mkurugenzi unajiweka wazi kwa ajili ya kupata stroke, pressure msongo. Wanaume wengi walio kwenye ndoa wana msongo wa mawazo au ni...
Nadhani serikali ipige marufuku hii biashara maana itakuja kuleta madhara makubwa katika jamii.
Wengi wataugua magonjwa ya moyo na pressure kwa sababu dawa hizo huchochea zaidi mzunguko wa damu
Hizi habari za muda wa kumaliza round zinaiharibu jamii na ndipo wale wanaouza dawa wamefanikiwa kuwafanya watu wajione wana matatizo sana hivyo wanaamua kutafuta suluhisho
Wanaoathirika zaidi ni vijana wanaosoma haya mabango.
Wakilinganisha uwezo wao na ule unaoandikwa
Inaonekana jamaa ni dhaifu namna Fulani. Kama angekuwa jiwe mke asingulemruhusu huyo jamaa kwenda kwake,. Inaonekana pesa kidogo anachelewa kutoa matumizi/mahitaji. Tena ana vitabia vya watoto wa kiume sio mwanaume
Shida haijirudii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.